LEO nimebahatika kukutana na huyu
dogo aloimba wimbo ambao mpaka sasa ndo inaongoza kwa kusikilizwa na
watu mtandaoni.Imesikilizwa na watu zaidi ya elf 51.Amefunika ngoma zote
kali hapa Bongo.Wimbo huo amemchana kaka yake Diamond.Kaelezea maisha
yake kabla hajatoka kimuziki.
Swali moja tu la msingi nlotaka kujua
kutoka kwake ni Uhusiano wake na
Diamond na amekiri kuwa Diamond ni
kaka yake wa Damu,Baba moja Mama Tofauti na kadai Diamond kabla hajatoka
kimuziki alikuwa anawajali ndugu zake ila kwa sasa hata baba yake mzazi
hana muda naye.
Hivyo kadai yote aloimba kwenye huo
wimbo ni ukweli mtupu.Ameomba watu kumkumbusha Diamond kukumbuka
nyuma,Usuperstar ni maji ya Moto.Tazama PICHA ZAKE KATIKA POZ MBALIMBALI
NA Chini kabisa ni wimbo huo ambao ishakuwa gumzo kwa kweli.
KAMA HUNA MBAVU USIDIRIKI KUSIKILIZA WIMBO HUU TAFADHALI,DOGO HUYU NOOOOMA.NI BONGE LA NGOMA.
No comments:
Post a Comment