08 October 2013

NANDO ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WASHIRIKI WENZAKE WA BBA, HUKU KEKI AKIWEKA PAMBO LA MARIJUANA "BANGI"

Katika hali ya kushangaza keki ya Nando iliwekwa picha ya bangi ambapo mashabiki wake walijiuliza kama kweli jamaa ni mtumiaji wa hiko kitu?
Mshiriki wa BBA'The Chase'2013 kutoka Bongo Ammy Nando amesheherekea siku yake ya kuzaliwa na washiriki wenzake wa shindano hilo kutoka nchi mbalimbali ambao ni Beverly wa Nigeria,swahiba wake Bimp wa Ethiopia na Angelo wa Sauzi.
 
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname