Katika hali ya kushangaza keki ya
Nando iliwekwa picha ya bangi ambapo mashabiki wake walijiuliza kama
kweli jamaa ni mtumiaji wa hiko kitu?
Mshiriki wa BBA'The Chase'2013 kutoka
Bongo Ammy Nando amesheherekea siku yake ya kuzaliwa na washiriki
wenzake wa shindano hilo kutoka nchi mbalimbali ambao ni Beverly wa
Nigeria,swahiba wake Bimp wa Ethiopia na Angelo wa Sauzi.
No comments:
Post a Comment