24 October 2013

HUU NDIO MSIKITI ANAO UJENGA MZEE MAJUTO NYUMBANI KWAKE....ANGALIA PICHA HAPA

Ni kitu kizuri kuona binadamu yeyote anapojisogeza karibu zaidi na Mungu, mwigizaji/mchekeshaji staa wa Tanzania ambae kwa sasa



Katika kijiji kipya atakachohamia siku kadhaa zijazo huko Tanga, Mzee huyu ameamua kujenga msikiti mdogo mpya wa matofali ya cement ambao atautumia kuswali pamoja na watu wengine ambapo mwanzoni alikua amejenga huo wa udongo hapo juu lakini akabadili mawazo hata kabla ya kuanza kuutumia, sasa anajenga wa kisasa zaidi.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname