02 October 2013

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA KATIKA MAZISHI YA MSANII WA BONGO FLEVA MAC 2B.


 Moja ya wasanii ambae walikuwa pamoja kwenye kundi la Wateule...Mchizi Mox
Kaburi ambalo msanii MacMalick alizikwa jana hukoYombo kwa Abiola.
 Msanii huyo MacMalick alifariki juzi kutokana na miguu kujaa maji.Kwa mujibu wa familia yake msanii huyo hajaacha mke wala mtoto.Baadhi ya wasanii na maproduza waliofanya nae kazi kama Lamar wa Fishcrab,Mchizi Mox,Daz Baba na Enrico wa Sound Crafters walikuwepo kwenye mazishi hayo.
#RIP Simba!

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname