03 October 2013

HILI NDILO JIWE LA AJABU NCHINI TANZANIA USILO RUHUSIWA KULIPANDA WALA KULISOGELEA KWANI NI HATARI


Haya ndio maajabu ya Jiwe la Mbuji Wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma
Maana ya neno Mbuji ni "Kitu kikubwa"



1. Ni jiwe pekee kubwa Mkoani Ruvuma,



2. lina vyanzo vingi vya maji chini yake, 
3. Ni ngumu kulipanda na ukithubutu yatakayokukuta ni
juu yako na tayari Mzungu mmoja kapoteza maisha'
4. Ni ngumu kulizunguka,



5. Hutumika kwa matambiko kwa baadhi ya koo,



6. Kuna watu maalumu wanaotoa maelekezo kwa yeyote
anayetaka kulifikia ama kupanda,



7. Ni kivutio kikubwa kwa wageni wachache ambao
hutembelea Litembo, Maguu, Hagati nk huko Mbinga,
8. Linaheshimika sana na wakazi wanaolizunguka jiwe
hilo,
9. Sehemu kubwa ya watu wananchi wanaolizunguka
hawajawahi kulipanda wala kulisogelea kwa hofu,
10. Jina la jiwe hilo ndilo jina la Tarafa ya Mbuji wilayani
Mbinga.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname