Katika party hiyo fupi iliyohudhuriwa na wadau mbalimbali wa mziki wa bongo fleva na waandishi wa habari wa media tofauti tofauti ilifanyika kwenye eneo tulivu la hotel ya Den France iliyopo pande za Sinza kuanzia saa 2 usiku ikiambatana na bata la kufa mtu.
Baby Madaha anatarajia kutambulisha Perfume zenye sura yake akiwa chini ya lebo inayofanya poa pande za Kenya ijulikanayo kama Candy n’ Candy chini ya mkubwa Joe. In short mengi mazuri yanakuja kutoka kwa Baby Madaha na soon anaachia rasmi video ya ngoma yake inayokwenda kwa jina la Mr. DJ iliyo kwenye mahadhi ya Dancehall.
No comments:
Post a Comment