03 October 2013

BABY MADAHA APEWA GARI KALI YA KUTEMBELEA BAADA YA KUSIGN MKATABA CANDY RECORDS








Picha za mwanamuziki na muigizaji wa Filamu nchini Baby Madaha akiwa nchini Kenya na gari

yake aina ya audi aliyopewa na Record Label ya Candy n’ Candy huko Kenya baada ya kusaini mkataba na kampuni hiyo.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname