25 October 2013

AMA KWELI HUJAFA HUJAUMBIKA...HUYU MTOTO ANAOMBA MSAADA WA KUTIBIWA HONOLINA MKAZI WA MGETA




Mtoto Honolina Christian miaka 11 mkazi wa mgeta Mkoani Morogoro anaomba msaada kwa wasamaria wamsaidie kupata fedha za matibabu ya maradhi yake yanayomsumbua tangu alipozaliwa  mama mzazi wa mtoto huyo Grace John kutoka mgeta anasema mwanae anateseka kwa muda mrefu hivyo anaomba asaidiwe ili apate kutibiwa

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname