Mwanadada Rose Ndauka amewawakia baadhi
ya waandishi wanoandika habari zauongo kuhusu yeye kufuatia hivi
karibuni kuripotiwa kuwa amekutwa kaitika nyumba ya wageni akivunja amri
ya sita na mwanamziki mmoja wa muziki wa kizazi kipya.
Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii Rose aliandika
“Dah magazeti
yanapenda chokochoko kweli haswa wakimuona mtu katulia....kama hujui
uliza sio tu unaongea au unaandika kitu ambacho ukijui......mnaudhi sana”
Huku akionesha picha ya gazeti moja la udaku lilikouwa na habari hiyo.
Hapo awali iliripotiwa na baadhi ya
mitandao ya habari na baadhi ya magazeti kuwa mwanadada huyu alionekana
akipapaswa ndani ya gari na baadaye yeye na mwanamuziki huyo aliyotajwa
kwa jina la dogo Nasry kwenda kuvunja amri ya sita katika hoteli ya
chumba hicho.
Source:Bongo Movies
No comments:
Post a Comment