HII NDO HOSPITALI ALIYO LAZWA SHEIKH PONDA BAADA YA KUPIGWA RISASI
SHEIKH PONDA ISSA PONDA
Sheikh Ponda akiwa anaingizwa katika chumba cha matibabu, MOI leo
mchana, baada ya kupokelwa katika Hospitali ya muhimbili. Chini ni jengo
la MOI mahali alipo kwa sasa.
No comments:
Post a Comment