13 June 2013

SKENDO:MWANAMITINDO LEYLA GHOBADI AFUNGUKA NAKUSEMA ALIMPA PENZI KANYE WEST MARA TU KIM KARDANSHIAN KUPATA UJAUZITO

http://images.olsen-twins-news.com/photo2/large/cc14987a6656e4bce1f7c72c09f347b0/kanye-west/leyla-ghobadi-24-says-kanye-west-cheated-with-her.jpg http://media.heavy.com/media/2013/06/leyla-thumbnail.jpg
 http://assets.nydailynews.com/polopoly_fs/1.1370400!/img/httpImage/image.jpg_gen/derivatives/index_300/leyla-ghobadi-kanye-west.jpg
Leyla Ghobadi huyu ni mwanamitindo maarufu tu na kupitia jarida la Star toleo jipya amefunguka yote kuhusu mahusiano yake na Rapper Kanye West. Model huyo ameweka wazi kupitia jarida la Star wiki hii kuwa yeye na Kanye West wamefanya tendo la ndoa wakati Kanye yupo kwenye mahusiano na Kim. Leyla amesema hajataka kusema mapema kwani anajua Kim anaujauzito na sio kuti kuzuri yeye kuskia taarifa kama hizi ila imebidi sababu ameulizwa. Leyla amesema walikutana na Kanye kimwili baada ya kujuana kwa siku mbili tu. Model huyo amesema mara ya pili wamekutana na Kanye West ilikuwa Mwezi wa Kumi mwaka jana wakati Kim tayari anategemea mtoto. Mpaka sasa Jarida la Star na New York Post Wame Ripoti hii taarifa na Kanye West hajasema lolote.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname