18 June 2013
MOTO MKALI WATIKISA MAENEO YA KARIAKOO JIJINI DAR
Hali ikiwa tete.
Moto ukiunguza paa la baa hiyo.
Shock ya umeme ikitokea karibu na jengo hilo.
Watu waliojaa kushuhudia tukio hilo.
Moto mkubwa umezuka jijini Dar es Salaam karibu kabisa na Soko Kuu la Kariakoo leo asubuhi na kuteketeza baa moja. Chanzo cha moto huo inadaiwa kuwa ni hitilafu ya umeme iliyotokea jirani na baa hiyo.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Comments system
Disqus Shortname
No comments:
Post a Comment