14 June 2013

HII NDIO HISTORIA FUPI YA MAREHEMU LANGA KILEO , MSANII WA HIPHOP ALIYEFARIKI .

 
Msanii wa muziki wa kizazi Langa Kileo amefariki dunia jioni ya jana katika hospitali ya Muhimbili baada ya kuugua ugonjwa wa Malaria. Langa ambaye aliingia rasmi kwenye muziki baada ya kuwa mmoja ya washindi Coca Cola Pop Star, ambapo aliunda kundi la WAKILISHA kwa pamoja na Shaa pamoja na Witness. Walifanikiwa kutoa nyimbo kadhaa ambazo zilitamba sana kwenye vituo vya Radio na Television. Kwa taarifa zaidi kuhusu msiba huu endelea kutembelea

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname