26 May 2013

Tetesi:Matokeo mapya kidato cha nne 2012 kutangazwa kesho jumatatu

Habari za kuaminika kutoka kwa ndugu wa karibu wa mh naibu wazir anayeshughulikia maswala ya elimu hapa nchini kwa sasa kuwa national examination results kwa matokeo yaliyofutwa yanatarajia kutangazwa kesho baada ya kukamilika kwa marekebisho ya upangaji mpya wa madaraja.
chanzo cha kuaminika n ndugu wa karibu

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname