27 May 2013

BREAKING NEWS: TRENI YAUA UKONGA-MOSHI BAR









Muda mfupi auliopita treni imegongana na gari aina ya RAV4 na dereva (me)amekufa muda huu na abiria(ke) yu mahututi. ni vema kwa waendeshao magari wakawa makini wanapokatisha njia za reli. RIP marehemu 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname