23 January 2013

MAAJABU....MTOTO ALIEZIKWA MZIMA NA KUFUKULIWA NA KUKUTWA MZIMA .Angalia PICHA ya TUKIO ZIMA

Mama mmoja
nchini Nigeria ameamua kumzika mtoto wake akiwa hai. Baada ya taarifa kupatikana polisi walienda na kuamua kufukua. Baada ya kufukua walimkuta mtoto huyo na kumkimbiza hospitali aliposafishwa mtoto huyo alikutwa hai.

Comments system

Disqus Shortname