
Rais Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume
Sadifa alieleza kuwa endapo CCM haitachukua hatua ya kumfukuza, umoja huo utatumia utaratibu tofauti kumuondoa.
Hata hivyo, leo Karume alihudhuria sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar na pale jina lake lilipotajwa na rais Ali Shein, umati uliofurika ulimshangilia kwa nguvu kubwa. Viongozi wa kitaifa wa Chama cha Wananchi (CUF) akiwemo makamu wa kwanza wa rais, Maalim Seif Sharif Hamad hawakuhudhuria sherehe hizo
No comments:
Post a Comment