12 January 2016

USIOMBE YAKUKUTE,AKUBWA NA GONJWA LA AJABU

ugonjwa


Stori: Deogratius Mongela
na Chande Abdallah, UWAZI
KAHAMA: Mashaka Andrea Malale (38), mkazi wa Kahama, Shinyanga anateseka kutokana na ugonjwa wa ajabu uliompata tangu akiwa mdogo na kusababisha alazwe katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili huku pia akidai kukimbiwa na mkewe aliyemtelekezea wototo wawili. 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname