12 January 2016

HIVI NDIVYO LEMBELI ANAVYOLIA BAADA YA RAIS MAGUFULI KUMTEMBELEA SUMAYE HOSPITALINI,ONA HAPA LIVE


 MBUNGE wa zamani wa Kahama kwa tiketi ya CCM kabla ya kuhamia Chadema,James Lembel ameibuka na kudai kuwa haikuwa na maana kwa Rais Magufuli kumtembelea Waziri Mkuu wa zamani Fredick Sumaye aliyelazwa katika Hospitali ya Muhimbili wakati alikuwa katika uangalizi mzuri zaidi wa kidaktari tena akiwa anapatiwa huduma zote muhimu.
 Badala yake,Lembeli ambaye alishindwa vibaya katika kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge katika Jimbo la Kahama Mjini.amesema kuwa ni vema Rais Magufuli angeenda kuwajulia hali wahanga wa bomoa bomoa ili kujua hali zao na jinsi ya kjuwasaidia.

Ni vema kuona mgonjwa, ila ana wauguzi na kitanda kizuri. Inaleta maana zaidi kutembelea waliovunjiwa nyumba na dola ili kuona wanapolala kwa sasa na kuwashika mkono.
Posted by James Lembeli - Chadema on Monday, January 11, 2016

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname