12 January 2016

HAKIKA KWA HILI BANGO LA MAPINDUZI YA ZANZIBAR CCM MMETELEZA ...YATAKIWA MUOMBE RADHI




HII NDO KAULI YA ZITTO KABWE
Siasa za. Hatari sana hizi. Siasa za kibaguzi. Siasa zinazopaswa kulaaniwa na kila mpinga ubaguzi nchini. Nitashangaa sana kama wakubwa CCM hamtaomba radhi kwa siasa hizi hizi mbaya kabisa. What will be the stop?

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname