‘Mtoto mtamu’ anayesumbua katika tasnia ya filamu Bongo, Jacqueline Wolper.
Na Brighton Masalu Habari
ikufikie kuwa ‘mtoto mtamu’ anayesumbua katika tasnia ya filamu Bongo,
Jacqueline Wolper Massawe ameweka pembeni masuala ya uigizaji kwa muda
usiojulikana kwa kile alichodai ni kujipa muda wa kupumzika na kujikita
zaidi kwenye mambo ya siasa.
No comments:
Post a Comment