25 September 2015

BAADA YA MBASHA KUSHINDA KESI AMSHANGAZA FLORA

Mwimbaji wa muziki wa Injili nchini, Emmanuel Mbasha. MWIMBAJI wa muziki wa Injili nchini, Emmanuel Mbasha ameshinda kesi yake ya ubakaji iliyokuwa ikimkabili, aliyotuhumiwa kumfanyia kitendo hicho msichana aliyekuwa akiwasaidia kazi za ndani ya nyumba yake na aliyekuwa mkewe, Flora Mbasha.Emmanuel Mbasha alidaiwa kufanya kitendo hicho mara mbili kwa msichana huyo, kitu ambacho ni kinyume cha sheria za nchi. 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname