
Beautiful
Onyinye, Wema Isaac Sepetu.Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu,
anadaiwa kutafuta shetani mwingine wa ugomvi baada ya ‘kumalizana’ na
Aunt Ezekiel Grayson na kuanzisha ushosti na mwigizaji, Yobnesh Yusuph
‘Batuli’, jambo ambalo linawapa wasiwasi mashabiki wao kutokana na dhana
iliyojengeka kuwa mrembo huyo (Wema), hawezi kudumu na rafiki kwa
kipindi kirefu.
BOFYA HAPA KUSOMA YOTE
BOFYA HAPA KUSOMA YOTE
No comments:
Post a Comment