28 August 2015

KAULI ALIYOITOA WOLPER MBELE YA LOWASSA YAIBUA HISIA KWA MASHABIKI WAKE,ASEMA KWA SASA ANAITWA JACKY LOWASSA

Katika Mkutano wa Lowassa leo na Wanawake wa Chadema , Mwigizaji Jack Wolper Alipewa Nafasi ya Kuongea Kuwawakilisha wasanii na Kusisitiza kuwa kwa sasa jina lake ni Jack Lowassa Kama Alivyoandika kwenye ukurasa wake wa Instagram siku kadhaa zilizopita...  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname