26 August 2015

BONGO LA AIBU: STAA WA BONGO MOVIE RAY AANGUA KILIO MKUMBINI

Msanii wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ akibembelezwa.
BONGE la soo! Katika hali ya kushangaza, msanii wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni alijikuta akiangua kilio ukumbini baada ya mshindi wa shindano la kusaka vipaji vya kuigiza kufananishwa na marehemu Steven Kanumba.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Posta, jijini Dar kulipokuwa na fainali za Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambapo washiriki 10 ndiyo walikuwa wakiwania kitita cha shilingi milioni 50. 


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname