27 August 2015

ACT WAZALENDO KUISHITAKI CHADEMA


Chama cha ACT – Wazalendo kimewaonya chama cha Demokrasia na Maendeleo kuacha kuwafanyia vurugu katika mikusanyiko yao pamoja na kushuka bedera za chama hicho.
Hayo yameelezwa na Katibu Mipango na Mikakati Habibu Mchange ambapo amedai kuwa chama cha Chadema kimevunja matawi baadhi ya maeneo nchini hivyo na kuwatia hasara kubwa.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname