02 July 2015
Mchungaji Mwingira wa Kanisa EFATHA Atakiwa Kupima DNA ni Baada ya Madai ya Kumpa Mke wa Mtu Mimba
Mahakama Kuu ya Tanzania imeamuru Nabii Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha Ministry, apimwe DNA kufuatia madai ya kumpa mimba mke wa mtu.
-Alimpa mimba mwanamke aitwaye Philiss Nyimbi na kuzaa mtoto aliyeitwa Daudi Mwingira
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Comments system
Disqus Shortname
No comments:
Post a Comment