04 June 2015

WEMA SEPETU ALIZUA JIPYA AKWAPUA BWANA WA LINAH SANGA.




Madam Wema Sepetu amkwapua bwana wa Linah Sanga akiongea kwa uchungu msanii huyo wa bongo fleva kwenye kipindi cha Ala za roho,Amedai penzi lake limekwenda na maji baada ya madam kufanya yake.Bwana huyo ndie alikua meneja wake nakufanyia mchakato wa video ya Olitemba South Afrika.Madam Wema juzi juzi tulisikia kaolewa leo tena kasfa nzito ya kuiba bwana wa wawatu.Linah na jamaa huyo wamedumu miaka zaidi ya minne.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname