Leo
tumekutana na ndugu yangu Mheshimiwa Samuel Sitta. Mimi na Sitta
tumetoka mbali kikazi na kindugu. Tumefanya kazi pamoja bungeni, ndani
ya CCM na serikalini kwa mafanikio makubwa.
Namtakia
heri katika harakati zake huku nikiamini
kwa dhati kwamba uhusiano wetu
ndiyo msingi wa umoja na mshikamano ndani ya CCM na kwa taifa letu kwa
siku zijazo.
No comments:
Post a Comment