12 June 2015

JOKATE: MAPENZI YA STAA KWA STAA MBONA POA TU!


Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.Saphyna Mlawa, Dar es Salaam
ANAJULIKANA kwa jina la Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, alianza kupata umaarufu kupitia fani ya urembo lakini kwa sasa sauti yake kusikika kwenye Bongo Fleva na kazi zake za urembo ndizo zinamfanya asomeke kwenye vyombo vya habari.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname