BUS NAMBA ZA USAJILI T174CAV.plus gari lililosabisha ajali, chanzo ni gari lenye namba za usajili T344ACA lilikua limepaki katikati
ya barabara bila kuweka alama yoyote, dereva wa basi la bestline
alipojaribu kulikwepa akajikuta kaivamia gar nyingne iliyokua ipo
service road nakujikuta anajibalaza kuanzia mlango wa abiria mpaka
mwisho wa basi, watu wa tatu wanakadiriwa kufa na majeruhi wengine
kadhaa, wamekimbizwa hosptali ya mkoa wa singida.
Chanzo: Eric Ndeki
No comments:
Post a Comment