KATIKA
kile kinachoonekana kuwa ugomvi wao bado ni mbichi kabisa, nyota wa
filamu Bongo, Wema Sepetu Jumanne wiki hii akiwa ni mshehereshaji katika
sherehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mtoto wa mtangazaji maarufu,
Zamaradi Mketema,
aligoma kumtaja Kajala Masanja kama mmoja wa watu
waliotakiwa kula keki, Ijumaa lina mkanda kamili.SOMA ZAIDI>>
No comments:
Post a Comment