Boss Lady wa Kampuni ya Endless Fame, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’.
BOSS Lady wa Kampuni ya Endless Fame, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’
amesababisha timbwili la aina yake hivi karibuni, akidaiwa kuwa kwenye
harakati za kutaka kukaa karibu na staa wa Bongo Fleva anayesumbua na
wimbo wa Chekecha Cheketua, Ali Saleh ‘Kiba’, Risasi Mchanganyiko
limesheheni mchapo kamili.
Tukio
hilo la aina yake lilitokea hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Triple A,
jijini Arusha ambapo mrembo huyo wa Tanzania mwaka 2006 alienda kwenye
sherehe ya mmoja wa rafiki zake huku yeye akipewa ‘taito’ ya mgeni
rasmi
No comments:
Post a Comment