18 March 2015

WEMA AZUA TIMBWILI KISA ALI KIBA LAKINI AUMBUKA



Boss Lady wa Kampuni ya Endless Fame, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’.
BOSS Lady wa Kampuni ya Endless Fame, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amesababisha timbwili la aina yake hivi karibuni, akidaiwa kuwa kwenye harakati za kutaka kukaa karibu na staa wa Bongo Fleva anayesumbua na wimbo wa Chekecha Cheketua, Ali Saleh ‘Kiba’, Risasi Mchanganyiko limesheheni mchapo kamili.

Tukio hilo la aina yake lilitokea hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Triple A, jijini Arusha ambapo mrembo huyo wa Tanzania mwaka 2006 alienda kwenye sherehe ya mmoja wa rafiki zake huku yeye akipewa ‘taito’ ya mgeni rasmi.SOMA ZAIDI>>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname