21 March 2015

SIWEMA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHA KUMYONYESHA MTOTO WA NEY WA MITEGO


Ukweli mnaujua nyie wawili na kuta za chumba mnacholala sisi hata tuongee mpaka asubuhi haya imeanza hivi Daah,siwezi endelea kukaa kimya aisee!! Ts hurt,iko hivi:nay,naomba usisahau kama niwewe uliniambia nitafute boyfrnd..tena ulintukania hd mamang marehem,nilikushukuru tu..nilikaa kimya kwa siku kadhaa but nilirudi tena kukuomba msamaha..mamaako.mzazi anajua,dadaako tina anajua...unasema umenifumania,jaribu kumuogopa mungu,we unakuja kwangu umekuta nmembeba curtis metoka kumpa maziwa..leo unasema umekuta mi nas#x kitandani..dahh ,ongea ukweli..nay mimi ndio nilikua nakupenda,hukuwah onyesha mapenzi hata siku1 kwangu,nilikua natetea penzi letu sanaaa..mimi ndo napost insta watsap lakin hukuwah kuonyesha hlo japo unaeza sema ulinisamehe ile ishu ya obasanjo ,wallah nilikupenda mungu anaona mpaka nikamkana yule baba SOMA ZAIDI>>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname