Facebook imemtaja mchezaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno
Christiano Ronaldo kuwa ndio mtu maarufu mwenye mashabiki wengi zaidi
facebook.
Ronaldo amemfunika Shakira aliyekuwa na mashabiki milioni 1oo kwa
kuwa na mashabiki milioni 107. Ronaldo [107,096,356] na Shakira
[107,087,100] .
No comments:
Post a Comment