09 November 2014

VITUKO VYA MISS TANZANIA 2O14 VINAVYOENDELEA KWENYE MITANDAO

asante sana sitti mtemvu kwa kuvua taji subiri mwakan ushiriki bibi bomba vigezo vyote unavyo una nafasi kubwa ya kushinda na kuitangaza nchi!!! Kila la kheri asante kwa kushiriki ubarikiwe sana
MISS TANZANIA PART 2.
Baada ya kuvuliwa taji aliyekuwa miss Tanzania Sitti mtemvu kwa kughushi umri...nafasi ya miss Tanzania imenyakuliwa na Mshindi wa pili Lilian
Kamaziama...lk mshindi huyu wa pili naye inasemekana sio raia wa Tanzania ni mnyarwanda. LILIAN nini mtoto wa generali wa jeshi KAMAZIAMA.BOFYA KUSOMA ZAIDI>>>.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname