29 November 2014

PENNY: SIWEZI KUVUNJA USHOSTI WA WEMA, AUNT!


Wema Sepetu akiwa na Aunty Ezekiel.
MTANGAZAJI  Bongo, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa kamwe hawezi kuwagombanisha marafiki wa damu, Wema Sepetu ‘Madam’ na Aunt Ezekiel, baada ya yeye kuingilia urafiki huo.Mtangazaji Bongo, Penniel Mungilwa ‘Penny’ akiwa na Wema Sepetu.

Akizungumza na mwanahabari wetu, Penny alisema kuwa anaamini kabisa kuna baadhi ya watu  hawapendi kuwa na urafiki zaidi ya watu watatu kitu ambacho siyo sahihi, yeye anaamini baada ya  kupatana na Wema hivi karibuni, watakuwa marafiki watatu.SOMA ZAIDI>>>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname