BAADA
ya tetesi kuzagaa kwamba aliyekuwa Katibu wa Bongo Movie Unity, William
Mtitu kwamba ana bifu kali na aliyekuwa mwenyekiti wa kundi hilo,
Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ mwenyewe amefunguka kwamba hawezi kufanya
kitu kama hicho.Aliyekuwa Katibu wa Bongo Movie Unity, William Mtitu.
Akistorisha
na paparazi wetu, Mtitu amesema anashangazwa na taarifa hizo licha ya
kwamba hawajawahi kuzungumza na Steve tangu alipoachia ngazi ya ukatibu.
“Sijawahi kutishia kuua mtu kama watu wanavyosema, Steve ni mdogo
wangu hivyo kama atakuwa na bifu na mimi ni yeye na sitajali kwani
wangekuwa ni kina Ray au wasanii wengine wakubwa wamenichunia ningewaza
lakini huyo haniumizi kichwa,” alisema
No comments:
Post a Comment