Birthday ya Diamond Mastaa Waongoza kwa Kuvaa Nguo za Uchi Picha Zote Hizi Hapa
Ikiwa ni masaa kadhaa tu
baada ya msanii Diamond Platnumz kusherekea siku yake ya kuzaliwa
akifikisha umri wa miaka 25 toka azaliwa mpaka sasa,lakini siku ya jana
ilikuwa kufuru kwa baadhi ya mstaa kama Wema Sepetu pamoja na wengine
kwa kuvaa ngup zenye kuonyesha mapaja yao, nimekukusanyia hapa picha
zote za mastaa hao akiwamo Hit maker wa single ya Hawajui Vanessa Mdee
hizi hapa
No comments:
Post a Comment