10 July 2014

WEMA SEPETU AMLIZA MAMA DIAMOND

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiRNIDtW7oSnVaHffVcHyu4iK5Y3-fX3Yn-rlOrELiBcY0uuWR1CpC-s80nI7Ac3cSo7ZTHc1hMwhb5dgAVBUPteBuX-ZuWEiAogJd0RUlPpTNxUobfSecXTgl6V-L4WjGvU5cd-40QKpl4/s1600/1.jpg
 
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefanya tukio la kihistoria
kiasi cha kumliza mama yake mzazi, Sanura Kassim ambaye alimwaga machozi kama mtoto mbele za watu.
KILICHOMLIZA Muda mfupi baada ya shughuli ya kufuturu kukamilika, mama Diamond alishangaa kusikia kwamba kulikuwa na jambo jingine la ziada katika siku hiyo. Alitolewa nje huku akiimbiwa ‘happy birthday’ ndipo alipogundua kilichokuwa kikiendelea.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname