04 July 2014

WAZIRI WA ZAMANI WA KENYA AWAACHA WATU MIDOMO WAZI BAADA YA KUMLA MATE MKEWE KAMA KIJANA WA MIAKA 20 LIVE UWANJA WA NDEGE

hii ilitokea juzi wakati laila odinga ambaye kwa sasa anaishi Boston alipokwenda kumpokea mke wake ambae alikwenda kumuona, wawili hao walibusiana kama vijana wa miaka 18 na kuwaacha abiria walioudhuria kwa ajili ya safari mbalimbali wakiwa midomo wazi

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname