05 July 2014

JOKATE NA HII SKENDO KUBWA ATAJISAFISHA VIPI?? SOMA HAPA



Kidoti-2 
Ikiwa jina la mtangazaji maarufu wa televishen ya TV1 Jokate Mwegelo, likitajwa tena kwa mara nyingine ikiwa hivi sasa akiwa anahisiwa kuwa yeye ndiye amevunja ndoa ya mtangazaji mwenzake Edzen, katika skendohii ambayo inasemekana kuwa Edzen Ndiye alikuwa ana-fall kwa mwanadada huyu na kuacha ndoa yake ikianguka, hatimaye Jokate avunja ukimya kuhusiana na skendo hiyo inayomkabili,

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname