MBALI na
Askofu wa Kanisa la Full Gosple Bible Fellowship, Zacharia Kakobe
kuteswa na misukule inayodaiwa kufufuliwa na baadhi ya makanisa ya
kiroho nchini, Mchungaji wa Kanisa la Maombezi, Anthony Lusekelo ‘Mzee
wa Upako’ (pichani) naye ameibuka na kucharukia suala hilohilo.
Akizungumza na Uwazi juzi, Mzee wa Upako alisema suala la misukule
linamtesa sana na kwamba anapingana na kufufuliwa kwao na baadhi ya
wachungaji wa makanisa mbalimbali wanaojigamba kufufua misukule wakati
si kweli na ni utapeli mtupu

No comments:
Post a Comment