22 May 2014

RICH MAVOKO ALAMBA DILI NONO NNCHINI BURUNDI

IMG-20140521-WA0007
Rich Mavoko baada ya kutua jijini Bujumbura
Rich Mavoko yupo nchini Burundi ambako amepata dili na kampuni iitwayo Ikoh ya nchini humo ambayo itahusika na yeye kuwanyanyua wasanii wa huko. Mavoko amealikwa kuwapa moyo wasanii wa Burundi na pia katika mkataba huo atatumbuiza kwenye tamasha kubwa litakalofanyila December mwaka huu.
IMG-20140521-WA0005

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname