24 March 2014

CHADEMA YAPATA PIGO, MWENYEKITI WA VIJANA NA VIJANA 100 WILAYANI ARUMERU WAHAMIA CHADEMA

 picha ikionyesha baadhi ya wanachama wapya waliojiunga na CCM, wakila kiapo, katikati ni aliyekuwa Mwenyekiti  wa Vijana CHADEMA kata ya Orturumenti Thomasi Kivuyo.
 Mwenyekiti wa vijana chadema kata ya Orturumenti akiwa anatoa mkono kwa katibu wa siasa uenezi Jonasi Kitoro mara baada ya kukabidhiwa kadi ya ccm

 katibu wa vijana wilaya ya arumeru  akiwa Boniface Mungaya akionyesha baadhi ya kadi zilizorudishwa na wanachama wa chadema.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname