24 March 2014

ANGALIA PICHA RISASI ZA MOTO NA MABOMU HUKO NZEGA,DKT KIGWANGALA ALIVYOKAMATWA NA WACHIMBAJI WADOGO WA NZEGA WALIVYOTAWANYWA NA POLISI


Hivi ndivyo Mbunge wa jimbo la Nzega mkoani Tabora Dkt Hamis Kiwangala(mwenye shati jeupe) alivyokamatwa wakati wa maandamano ya wachimbaji wadogo machimbo ya Mwashina wilayani Nzega mkoani Tabora,huku wananchi wakikimbia hovyo kwani polisi walitumia mabomu ya machozi na risasi za moto kuwatawanya.
Polisi wakikabiliana na wachimbaji wadogo wa madini wilayaniNzega

Pichani ni mmoja kati ya waandamanaji hao aliyekuwa karibu na Dkt Kigwangala akiwa chini baada ya kujeruhiwa na polisi
Mlipuko wa mabomu kwa mbali

ANGALIA PICHA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname