Mbwa wa
huko nchini China amenunuliwa kwa dola milioni 2 (sawa na zaidi ya
shilingi bilioni 3.2) na kufanya kuwa mbwa aliyenunuliwa kwa bei kubwa
zaidi.
Kwa
mujibu wa Qianjiang Evening News, mbwa huyo alinunuliwa kwa Yuan milioni
12 mashariki mwa jimbo Zhejiang. Mbwa hao wanadaiwa kufanana na simba
na wana thamani kubwa kwakuwa wanaaminika kuleta bahati, afya na ulinzi.
No comments:
Post a Comment