27 March 2014

ANGALIA PICHA MBWA ANUNULIWA KWA BILIONI 3.2


Mbwa wa huko nchini China amenunuliwa kwa dola milioni 2 (sawa na zaidi ya shilingi bilioni 3.2) na kufanya kuwa mbwa aliyenunuliwa kwa bei kubwa zaidi.
Kwa mujibu wa Qianjiang Evening News, mbwa huyo alinunuliwa kwa Yuan milioni 12 mashariki mwa jimbo Zhejiang. Mbwa hao wanadaiwa kufanana na simba na wana thamani kubwa kwakuwa wanaaminika kuleta bahati, afya na ulinzi.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname