Akisoma maelezo ya kosa mbele ya mahakama hiyo,Mwanasheria upande wa Jamhuri Bw.Nestory Paschal aliieleza mahakama hiyo kuwa mshtakiwa Sanane Machimi akiwa na umri wa miaka 17 mnamo tarehe 7 mwezi wa 5 mwaka 2012 alimuua bila kukusudia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Kweji Ntuvilo kwa kumpiga kwa fimbo kichwani na ubavuni baada ya kumfumania anafanya mapenzi na mkewe eneo la vichakani huko wilayani Sikonge.
No comments:
Post a Comment